#navbar-iframe{height:0px;visibility:hidden;display: none !important}

Saturday 16 March 2013

SIASA SIO VITA KAMA UNATAKA KUAMINI ANGALIA HAPA

Siasa sio kama watu wanavyo fikiria kuhusu maandamano ya vurugu na kuchomeana nyumba. ukitaka kukubaliana na mimi hebu angalia hawa waeshimiwa wakifuatana katika mtandao wa kijamii. jamani tuacheni kugombana kisa siasa sisi huku chini ndo tunaweza tu kuumia.



No comments:

Post a Comment