#navbar-iframe{height:0px;visibility:hidden;display: none !important}

Friday 28 September 2012

JEE UNATAKA KUJUA UTAKAPOZEEKA UTAFANANA VIPI?

Jee unataka kujua utakapozeeka utafanana vipi?.

Kazi rahisi sana.

Wataalam wakiongozwa na Dr. Zajonc(ZI-onz) wanasema kama wewe nimwanamume hebu muangalie baba mkwe wako, na kama wewe ni mwanamke , muangalie kwa umakini mama mkwe. Urefu unaweza kuwa tofauti lakini sura, utakapozeeka utafanana kama wakwe zako.

50 CENT ATAJA MBINU TANO ZA KUKUFANYA UACHE KUPIGA PUNYETO

50 CENT ATAJA MBINU TANO ZA KUKUFANYA UACHE KUPIGA PUNYETO

Masturbation, ni kitu ambacho watu wengi hufanya kwa siri kujiridhisha pindi wawapo na hamu ya kufanya kale kamchezo kama Diamond anavyokaita! 

Lakini si kitu ambacho unaweza ukasema hadharani. It’s a dirty secret!

Lakini 50 Cent haoni aibu kulizungumzia hadharani.
Rapper huyo ambaye anasema kujichua ni dhambi ametoa somo la jinsi ya kuachana na tabia hiyo kupitia Twitter kama ifuatavyo.

Friday 24 August 2012

50 CENT, THE GOOD DIE YOUNG LYRICS


Artist: 50 Cent
Album:  Power of the Dollar
Song:   The Good Die Young
Typed by: LegondarySensay@webtv.net

[50 Cent]
Yo, you know what I want? I want the beat to drop right..now 
niggas be thinkin' I'm crazy right?
you are crazy..
I ain't crazy...
you are crazy....
atleast I don't think I'm crazy
I think my shit is hot, I think I'm hot
you hot but you crazy..
why they wanna?..man..I don't know...

[Verse 1]
It's the money that - makes shit get ugly
It's the money that - makes these hoes love me
It's the money that - makes niggas wanna slug me
man..I thought the money would make it all lovely
Yo, I actually write what I do or see
the felonies from day to day make me say what I say
when I die my art will be worth more than Picasso's
Don't cry for me, smile for me
and if you see them niggas that wet me, wile' for me
remember the good times, the chips we stacked
the clips we packed 
and all the bricks we cooked from coke to crack
let my tombstone read "I Tried" and from the start
everything I wrote was from my heart
so it'll always be number one on my chart
I get sensitive with my shit, don't fuck with my art
sometimes it sounds like I'm playin' but I'm sayin'
this shit is real, it ain't a game.

[Chorus - repeat 2X]
They say the good die young
I guess these grimy niggas live a long time
Sit in fancy whips, sip champaigne and shine
Keep your eyes on yours while I keep my eyes on mine

[Verse 2]
First it happened to Stretch then to Pac and Big
I'm convinced it can happen to anybody kid
so I get vest up when I get dressed up
in the hood it's messed up, niggas runnin' 'round shootin' shit up
if it's Dom that you drinkin' fill up my cup
if you got somethin' to doubt me, shut the fuck up
why do niggas act like they hard when they know they butt?
and gettin' robbed ain't a good time to press ya luck
duke listen, if you move I'm'a hurt you
you'll get your turn to shine later, patience is a virtue
right now what you need to do is gimme the cash
forget about your Boss bein' mad, just save ya ass
be a good Boy now, go and get your stash
I seen you throw it next to the garbage can like it was trash
alright run along before I shoot ya ass
I hate to do this to you but I really need this cash.

[Chorus]

[Verse 3]
I know we all gotta go, but I'd hate to go fast
then again I don't think it'd be fun to stick around and go last
man listen, if you really really like this shit
nigga call Steve Stoute and I'll write ya shit
call him now before I drop for real 'cause after I drop
I'm'a be chargin' ya'll niggas like Forty a pop
to each his own, me? I got it while it was cheap
typical mentality, I know, I'm straight from the street
1999's the year of the predator, I'm killin' to eat
niggas'll treat you like a egg, you come to cop you get beat
gimme your dough, oh, you wore your jewels? what a treat
you're a generous guy
take 'em off or die
man, we hurtin' 'round here, ain't nobody slingin' pies
look around, ain't nobody 'round here fly
why you 'round here with this shit anyway? huh? you high?
see, you done made the wrong move, kiss your ass goodbye.  

[Chorus]

Tuesday 21 August 2012

5 WAYS TO SPEND LESS ON SCHOOLS

              Living large doesn't mean spending boatloads.

   We get it: life is so expensive it feels like you never get to shop  for anything but groceries. But back-to-school shopping is almost requisite. The key, and the irony, is in keeping it cheap. Here's how:


  1. Buy your textbooks online: Why pay bookstore prices when you can search 15 million titles and save up to 90% on everything? Our friends  can find you the new, used, or rental textbooks you need at prices you can actually afford.
  2. Buy in bulk: Purchasing non-perishable items like soap and toothpaste can save you more than you think. And every dollar saved here is a dollar you don't have to borrow.
  3. Budget ahead of time: Know how much you can spend beforeyou go shopping. And never spend more than that pre-set number.
  4. Shop after Labor Day: Good things come to those who wait. In your case, discounts. This is especially true of clothing, as retailers are looking to unload what they didn't sell during the back-to-school season
  5. Buy used: Used furniture and clothing aren't old. They just have character. Check garage sales, second-hand stores, and even your local Goodwill.

Friday 27 July 2012

NAFASI ZA KAZI 2012


NAFASI ZA KAZI JESHI LA POLISI





TANGAZO LA AJIRA


Jeshi la Polisi liko katika mchakato wa kuajiri vijana kujiunga na Jeshi kupitia mashuleni.


Tumeamua kuurudia utaratibu ambao ulikuwepo zamani wa kuajiri moja kwa moja toka mashuleni ambao ulikuwepo siku za nyuma kutokana na mahitaji halisi ya Jeshi la Polisi kwa sasa.


Hivi sasa Jeshi la Polisi linakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazotokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, ongezeko la uhalifu mpya kama vile wizi wa kutumia mtandao, usafirishaji haramu wa binadamu na kadhalika. Wahalifu wanaohusika na matukio kama hayo, wamekuwa wakitumia mbinu mpya na utaalamu wa hali ya juu.


Aidha, Jeshi la Polisi linaendelea na Programu yake ya maboresho. Maboresho haya yanalenga kulifanya Jeshi kuwa la Kisasa zaidi ambalo litatelekeza majukumu yake kwa Weledi huku likiwa karibu zaidi na raia katika utendaji wake wa kila siku.


Kutokana na changamoto hizo, Jeshi la Polisi linahitaji kuajiri, vijana wasomi, wenye utashi, ari na nia ya kufanya kazi za Polisi na wenye fikra na mtazamo unaoendana na dunia ya sasa.


Vijana hawa watakuwa viongozi na chachu katika kuleta mabadiliko yanayokusudiwa ndani ya Jeshi la Polisi.





A: – SIFA/VIGEZO VYA MWOMBAJI


  • Mwombaji awe Mtanzania kwa kuzaliwa.
  • Awe na afya njema iliyothibitishwa na Daktari wa Serikali.
  • Awe hajaoa/kuolewa au kuwa na mtoto.
  • Awe na tabia njema na asiwe na kumbukumbu za uhalifu.
  • Awe amemaliza Kidato cha sita mwaka 2012 na kufaulu.
  • Awe na umri kati ya miaka 18 na 25.



B: MASHARTI KWA MWOMBAJI

  • Kila mwombaji awe tayari kufanya kazi mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Kila mwombaji awe na ari,utashi na nia ya kufanya kazi ya Polisi.
  • Kila mwombaji aandike namba yake ya simu na anuani yake ya kudumu kwa usahihi ambayo itatumika wakati wa kuitwa kwenye usaili.



C: FOMU ZA KUJIUNGA ZINAPATIKANA:


Ofisi ya Mkuu wa shule
Ofisi za Makamanda wa Polisi Mikoa/Wilaya zilizo karibu
Pata fomu hapa ( sel-form )





Imetolewa na;


Ofisi ya Inspekta Jenerali wa Polisi,
Makao Makuu ya Polisi,
S.L.P 9141,
DAR ES SALAAM.




source: tangazo la ajira B- 2012
Categories:

MATOKEO SECONDSEMESTER MIPANGO

Tuesday 12 June 2012