#navbar-iframe{height:0px;visibility:hidden;display: none !important}

Friday 28 September 2012

JEE UNATAKA KUJUA UTAKAPOZEEKA UTAFANANA VIPI?

Jee unataka kujua utakapozeeka utafanana vipi?.

Kazi rahisi sana.

Wataalam wakiongozwa na Dr. Zajonc(ZI-onz) wanasema kama wewe nimwanamume hebu muangalie baba mkwe wako, na kama wewe ni mwanamke , muangalie kwa umakini mama mkwe. Urefu unaweza kuwa tofauti lakini sura, utakapozeeka utafanana kama wakwe zako.

No comments:

Post a Comment