#navbar-iframe{height:0px;visibility:hidden;display: none !important}

Saturday, 16 March 2013

SIASA SIO VITA KAMA UNATAKA KUAMINI ANGALIA HAPA

Siasa sio kama watu wanavyo fikiria kuhusu maandamano ya vurugu na kuchomeana nyumba. ukitaka kukubaliana na mimi hebu angalia hawa waeshimiwa wakifuatana katika mtandao wa kijamii. jamani tuacheni kugombana kisa siasa sisi huku chini ndo tunaweza tu kuumia.



Friday, 28 September 2012

JEE UNATAKA KUJUA UTAKAPOZEEKA UTAFANANA VIPI?

Jee unataka kujua utakapozeeka utafanana vipi?.

Kazi rahisi sana.

Wataalam wakiongozwa na Dr. Zajonc(ZI-onz) wanasema kama wewe nimwanamume hebu muangalie baba mkwe wako, na kama wewe ni mwanamke , muangalie kwa umakini mama mkwe. Urefu unaweza kuwa tofauti lakini sura, utakapozeeka utafanana kama wakwe zako.

50 CENT ATAJA MBINU TANO ZA KUKUFANYA UACHE KUPIGA PUNYETO

50 CENT ATAJA MBINU TANO ZA KUKUFANYA UACHE KUPIGA PUNYETO

Masturbation, ni kitu ambacho watu wengi hufanya kwa siri kujiridhisha pindi wawapo na hamu ya kufanya kale kamchezo kama Diamond anavyokaita! 

Lakini si kitu ambacho unaweza ukasema hadharani. It’s a dirty secret!

Lakini 50 Cent haoni aibu kulizungumzia hadharani.
Rapper huyo ambaye anasema kujichua ni dhambi ametoa somo la jinsi ya kuachana na tabia hiyo kupitia Twitter kama ifuatavyo.